Thursday, 14 July 2016

Kwa nini mkoa wa Kagera hauendelei kama mkoa mingine?

Kwa miaka ya nyuma kidogo watu wengi walikuwa wanadhani kila mtu anayeishi mkoani Kagera, kuzaliwa mkoani humo au kuishi katika mkoa wa Kagera ni tajiri na msomi.

Lakini ni tofauti na watu wengi wanavyofikiria kuwa mkoa huo una wasomi wengi na watu matajiri kuliko mikoa mingine.

No comments:

Post a Comment